Picked
Katika hali ya kushangaza inayotikisa ulimwengu wa Hip Hop Bongo, Yuzzo Mwamba ameachia rasmi wimbo mpya wenye mashairi makali na ujumbe mzito kwa marapper wanaotamba kwenye game – “Dada Zangu”.
Entertainment
Katika kile kinachoonekana kuwa ni uthibitisho wa muda mrefu uliokuwa ukisubiriwa na mashabiki, msanii nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Zuchu, ameacha gumzo mitandaoni baada ya kuposti ujumbe wa kusisimua
Ujenzi wa uwanja mpya wa kisasa wa mpira wa miguu unaojengwa jijini Arusha umefikia hatua ya asilimia 42, hatua inayoashiria maendeleo chanya kuelekea maandalizi ya michuano ya Kombe la Mataifa
Latest Articles
Msanii chipukizi Fama ameungana na nguli wa Bongo Flava TID katika kutoa wimbo mpya wa mapenzi unaoitwa “Body”, ambao tayari umeanza kusambaa mitandaoni na kushika kasi kubwa kwa mashabiki wa
Msanii maarufu kutoka Kigoma, Centano, amerudi tena kwa kishindo kupitia wimbo wake mpya unaoitwa “Nimechelewa”. Wimbo huu umeteka hisia za mashabiki kwa ujumbe mzito wa mapenzi na maneno ya ukweli
Msanii nyota wa Bongo Fleva, Marioo, ameachia rasmi wimbo wake mpya unaoitwa "Hahaha", kazi ya kisanii inayozua mijadala mitandaoni kutokana na ujumbe wake wa kejeli na mistari kali ya mtaa.
Msanii anayefahamika kwa uandishi wa mashairi makali na ukweli wa jamii, Nay Wa Mitego, amerudi tena na moto mpya kabisa kupitia wimbo wake unaoitwa "Nyie Ni Nani". Wimbo huu mpya
Welcome to Bongo Fame. Listen To Latest Music & Get Daily Entertainment news.
C.E.O