Msanii maarufu wa Singeli nchini Tanzania, Msaga Sumu, amerudi kwa kishindo na ujio mpya wa kibabe kabisa kupitia wimbo wake mpya unaoitwa “Mungu Wangu”. Huu ni moto mwingine unaowasha anga
Bongo Fame
Msanii nyota wa Bongo Fleva na aliyekuwa chini ya lebo ya WCB Wasafi, Mbosso, amerudi kwa kishindo kupitia ujio wake mpya wa EP yenye jina RN3. Hii ni kazi ya
Katika muendelezo wa kutawala anga la muziki wa Bongo Fleva, msanii maarufu Dayoo ameungana na D Voice katika kutoa wimbo mpya unaoitwa "Mimi", ambao tayari umeanza kuvuma mitandaoni. Wimbo huu
KLABU ya Yanga yafikia makubaliano ya mkataba mpya na beki wake mahiri Dickson Job, amtia saini kwa miaka miwili kwa dau la kuvutia huku Simba wakizidi kuachwa njia panda. Katika
Msanii chipukizi mwenye kipaji cha kipekee Flory Redpen ameachia rasmi wimbo wake mpya wa mapenzi uitwao "Je T’aime", akimshirikisha mkali wa muziki wa Bongo Fleva Mocco Genius. Wimbo huu umetayarishwa
Msanii maarufu wa Bongo Fleva, Marioo, ameachia rasmi wimbo wake mpya unaoitwa “Nacheka kwa Dharau”, akionesha ubora wake wa kipekee katika sanaa ya muziki na kutoa ujumbe mkali kwa wanaomsema
Msanii anayechipukia kwa kasi katika tasnia ya muziki wa Bongo Fleva, Oscar Oscar, amedondosha rasmi audio mpya inayokwenda kwa jina la “LEO”. Katika kazi hii, Oscar amemshirikisha msanii maarufu na
Mwanamuziki maarufu wa Hip Hop kutoka Tanzania, P Mawenge, ameachia rasmi kazi yake mpya ya kisanaa inayokwenda kwa jina la "Tambo Za Viwango." EP hii ina jumla ya nyimbo 6
Fiston Kalala Mayele, mshambuliaji hatari kutoka DR Congo, ameendelea kuwa miongoni mwa wachezaji wanaolipwa vizuri zaidi barani Afrika. Kwa sasa, Mayele anachezea klabu ya Pyramids FC ya Misri baada ya
Katika kile kinachoonekana kuwa ni uthibitisho wa muda mrefu uliokuwa ukisubiriwa na mashabiki, msanii nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Zuchu, ameacha gumzo mitandaoni baada ya kuposti ujumbe wa kusisimua
Load More